2 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi dhidi ya wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Mmewatawanya kondoo wangu; mliendelea kuwatawanya, nanyi hamjawakazia fikira.”+
“Basi nitawakazia ninyi fikira kwa sababu ya matendo yenu maovu,” asema Yehova.