16 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana.+ Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+
9 Lakini kwa habari yako wewe, ikiwa kwa kweli utamwonya mwovu aiache njia yake ili ageuke na kuiacha lakini kwa kweli asigeuke na kuiacha njia yake, yeye mwenyewe atakufa katika kosa lake,+ lakini wewe hakika utaiokoa nafsi yako.+