Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana.+ Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+

  • Ezekieli 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini kwa habari yako wewe, ikiwa kwa kweli utamwonya mwovu aiache njia yake ili ageuke na kuiacha lakini kwa kweli asigeuke na kuiacha njia yake, yeye mwenyewe atakufa katika kosa lake,+ lakini wewe hakika utaiokoa nafsi yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki