2 Mambo ya Nyakati 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Mikaya akasema: “Ninawaona Waisraeli wote wakiwa wametawanyika milimani, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Yehova akasema: ‘Hawa hawana bwana. Acha kila mmoja wao arudi kwa amani nyumbani kwake.’”
16 Basi Mikaya akasema: “Ninawaona Waisraeli wote wakiwa wametawanyika milimani, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Yehova akasema: ‘Hawa hawana bwana. Acha kila mmoja wao arudi kwa amani nyumbani kwake.’”