Mambo ya Walawi 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Lakini msiponisikiliza au kushika amri hizo zote,+ Mambo ya Walawi 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitawakataa,* nanyi mtashindwa na maadui wenu;+ na wale wanaowachukia ninyi watawakanyaga-kanyaga,+ nanyi mtakimbia bila kukimbizwa na mtu.+ Hesabu 27:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yehova, Mungu anayewapa watu wote uhai,* naomba umchague mwanamume atakayewasimamia watu hawa 17 ili awatangulie na kuwaongoza katika mambo yote, ili watu hawa wa Yehova wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”
17 Nitawakataa,* nanyi mtashindwa na maadui wenu;+ na wale wanaowachukia ninyi watawakanyaga-kanyaga,+ nanyi mtakimbia bila kukimbizwa na mtu.+
16 “Yehova, Mungu anayewapa watu wote uhai,* naomba umchague mwanamume atakayewasimamia watu hawa 17 ili awatangulie na kuwaongoza katika mambo yote, ili watu hawa wa Yehova wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”