Zaburi 106:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Aliwatia tena na tena mikononi mwa mataifa,+Ili wale waliowachukia waweze kuwatawala.+ Maombolezo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wapinzani wake sasa ni mabwana wakubwa wake; maadui wake hawajali.+ Kwa maana Yehova amemletea huzuni kwa sababu ya dhambi zake nyingi.+ Adui amewapeleka watoto wake utekwani.+
5 Wapinzani wake sasa ni mabwana wakubwa wake; maadui wake hawajali.+ Kwa maana Yehova amemletea huzuni kwa sababu ya dhambi zake nyingi.+ Adui amewapeleka watoto wake utekwani.+