Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana wachungaji wamejiendesha bila kutumia akili,+ wala hawakumtafuta Yehova.+ Ndiyo sababu hawakutenda kwa ufahamu, na wanyama wao wote waliolishwa wametawanywa.”+

  • Yeremia 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Watu wangu wamekuwa kundi la viumbe vinavyoangamia.+ Wachungaji wao wamewafanya waende huku na huku.+ Wamewapeleka juu ya milima.+ Wameenda kutoka mlima mpaka kilima. Wamepasahau mahali pao pa kupumzika.+

  • Ezekieli 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii, nawe uwaambie hao wachungaji, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Ole wao wachungaji wa Israeli,+ ambao wamekuwa watu wanaojilisha wenyewe!+ Je, wachungaji hawapaswi kulisha kundi?+

  • Zekaria 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ambalo wanunuzi wake huwaua+ ingawa hawahesabiwi hatia.+ Na wale wanaowauza+ husema: “Yehova abarikiwe, huku nami nitapata utajiri.”+ Na wachungaji wao wenyewe hawawaonyeshi huruma yoyote.’+

  • Mathayo 9:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Alipouona umati akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa wamechunwa ngozi na kutupwa huku na huku kama kondoo wasio na mchungaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki