Zekaria 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ambao wanachinjwa na wanunuzi wao+ lakini wanunuzi hao hawahesabiwi kuwa na hatia. Na wale wanaowauza+ husema, “Yehova na asifiwe, kwa maana nitakuwa tajiri.” Na wachungaji wao hawawahurumii.’+
5 ambao wanachinjwa na wanunuzi wao+ lakini wanunuzi hao hawahesabiwi kuwa na hatia. Na wale wanaowauza+ husema, “Yehova na asifiwe, kwa maana nitakuwa tajiri.” Na wachungaji wao hawawahurumii.’+