2 “Mwana wa binadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Tabiri, na uwaambie wachungaji hao, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ole wao wachungaji wa Israeli,+ ambao wamekuwa wakijilisha wenyewe! Je, wachungaji hawapaswi kulilisha kundi?+