Isaya 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,Naye atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+ Yohana 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya kupata kiamshakinywa, Yesu akamuuliza Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?” Petro akamjibu: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.” Yesu akamwambia: “Lisha wanakondoo wangu.”+
11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,Naye atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+
15 Baada ya kupata kiamshakinywa, Yesu akamuuliza Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?” Petro akamjibu: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.” Yesu akamwambia: “Lisha wanakondoo wangu.”+