Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+

      Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,

      Naye atawabeba kwenye kifua chake.

      Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+

  • Yohana 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya kupata kiamshakinywa, Yesu akamuuliza Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?” Petro akamjibu: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.” Yesu akamwambia: “Lisha wanakondoo wangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki