-
Ezekieli 34:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “‘“Mimi mwenyewe nitawalisha kondoo wangu,+ na mimi mwenyewe nitawalaza,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. 16 “Aliyepotea nitamtafuta,+ anayetangatanga nitamrudisha, aliyejeruhiwa nitamfunga, na aliye dhaifu nitamtia nguvu; lakini aliyenona na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”
-