Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hawatakuwa na njaa, wala hawatakuwa na kiu,+

      Wala joto kali wala jua halitawachoma.+

      Kwa maana Yule anayewaonyesha rehema atawaongoza,+

      Naye atawaongoza kando ya chemchemi za maji.+

  • Ezekieli 34:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘“Mimi mwenyewe nitawalisha kondoo wangu,+ na mimi mwenyewe nitawalaza,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. 16 “Aliyepotea nitamtafuta,+ anayetangatanga nitamrudisha, aliyejeruhiwa nitamfunga, na aliye dhaifu nitamtia nguvu; lakini aliyenona na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”

  • 1 Petro 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki