Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 23:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+

      Sitakosa chochote.+

       2 Hunilaza katika malisho yenye majani mengi;

      Huniongoza kwenye sehemu za kupumzika zenye maji mengi.*+

  • Yeremia 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Watakuja wakilia.+

      Nitawaongoza huku wakiomba kibali.

      Nitawaongoza kwenye vijito vya* maji,+

      Kwenye kijia tambarare ambacho hakitawafanya wajikwae.

      Kwa maana mimi ni Baba ya Israeli, naye Efraimu ni mzaliwa wangu wa kwanza.”+

  • Ufunuo 7:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hawatakuwa na njaa wala kiu tena, wala jua halitawachoma wala joto lolote lenye kuunguza,+ 17 kwa sababu Mwanakondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji* ya uzima.+ Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki