14 Lakini Israeli akaunyoosha mkono wake wa kulia na kuuweka juu ya kichwa cha Efraimu, ingawa ndiye aliyekuwa mdogo, halafu akauweka mkono wake wa kushoto juu ya kichwa cha Manase. Aliweka mikono yake hivyo kimakusudi kwa sababu Manase alikuwa mzaliwa wa kwanza.+