-
Ufunuo 7:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 kwa sababu Mwana-Kondoo, ambaye yuko katikati ya kiti cha ufalme, atawachunga, na kuwaongoza kwenye mabubujiko ya maji ya uhai. Na Mungu atafuta kabisa kila chozi kutoka katika macho yao.”
-