8 Yeye kwa kweli atameza kifo milele,+ na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote.+ Na shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.
4 Naye atafuta kila chozi+ kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena,+ wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.+ Mambo ya zamani yamepitilia mbali.”+