10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+
19 Nami nitashangilia katika Yerusalemu na kufurahi katika watu wangu;+ na ndani yake haitasikika tena sauti ya kulia wala sauti ya kilio cha huzuni.”+