Kumbukumbu la Torati 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ikiwa watu wako waliotawanywa watakuwa kwenye mwisho wa mbingu, kutoka huko Yehova Mungu wako atakukusanya na kutoka huko atakuchukua.+ Isaya 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo watu wa Yehova waliokombolewa watarudi na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe,+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watapata furaha na shangwe.+ Huzuni na kuugua hakika zitakimbia kabisa.+ Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+ 1 Timotheo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote+—hili ndilo litakalotolewa ushahidi kwenye nyakati zake maalumu.
4 Ikiwa watu wako waliotawanywa watakuwa kwenye mwisho wa mbingu, kutoka huko Yehova Mungu wako atakukusanya na kutoka huko atakuchukua.+
11 Ndipo watu wa Yehova waliokombolewa watarudi na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe,+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watapata furaha na shangwe.+ Huzuni na kuugua hakika zitakimbia kabisa.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+
6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote+—hili ndilo litakalotolewa ushahidi kwenye nyakati zake maalumu.