Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ikiwa watu wako waliotawanywa watakuwa kwenye mwisho wa mbingu, kutoka huko Yehova Mungu wako atakukusanya na kutoka huko atakuchukua.+

  • Isaya 51:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo watu wa Yehova waliokombolewa watarudi na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe,+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watapata furaha na shangwe.+ Huzuni na kuugua hakika zitakimbia kabisa.+

  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+

  • 1 Timotheo 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote+—hili ndilo litakalotolewa ushahidi kwenye nyakati zake maalumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki