10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+
10 Nami nitawarudisha kutoka nchi ya Misri;+ nitawakusanya pamoja kutoka Ashuru;+ nami nitawaleta katika nchi ya Gileadi+ na Lebanoni, wala nafasi haitapatikana kwa ajili yao.+
31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.