Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+

  • Yeremia 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana kwa kweli Yehova atamkomboa Yakobo+ na kumponya kutoka mkononi mwa yule aliye na nguvu kuliko yeye.+

  • Zekaria 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nitawarudisha kutoka nchi ya Misri;+ nitawakusanya pamoja kutoka Ashuru;+ nami nitawaleta katika nchi ya Gileadi+ na Lebanoni, wala nafasi haitapatikana kwa ajili yao.+

  • Mathayo 24:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki