20 bado wana wa hali yako ya kufiwa watasema hivi masikioni mwako,+ ‘Mahali hapa pamesongamana mno kuweza kukaliwa nami.+ Nipe nafasi, ili nipate kukaa.’+
2 “Fanya mahali pa hema lako pawe na nafasi kubwa zaidi.+ Nao wanyooshe hema la maskani yako kuu. Usizuie. Refusha kamba za hema lako, na uvitie nguvu vigingi vya hema lako.+