Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Yoshua akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watu wengi sana, nendeni msituni, mjikatie huko katika nchi ya Waperizi+ na Warefaimu,+ kwa sababu eneo lenye milima+ la Efraimu limekuwa jembamba mno kwenu.”

  • 2 Wafalme 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wana+ wa manabii wakaanza kumwambia Elisha: “Tazama, sasa! Mahali+ tunapokaa mbele yako ni padogo+ mno kwetu.

  • Isaya 54:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 “Piga vigelegele kwa shangwe, wewe mwanamke tasa ambaye hukuzaa!+ Changamka kwa vigelegele vya shangwe na upaaze kilio kikali,+ wewe ambaye hukuwa na maumivu ya kuzaa mtoto,+ kwa maana wana wa aliye na ukiwa ni wengi kuliko wana wa yule mwanamke aliye na mume,”+ Yehova amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki