3 Ndipo wana wa manabii+ waliokuwa katika Betheli wakamjia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?”+ Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo.+ Kaeni kimya.”
5 Ndipo wana wa manabii waliokuwa katika Yeriko wakamkaribia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?” Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo. Kaeni kimya.”+
9Na Elisha nabii akamwita mmoja wa wana+ wa manabii, kisha akamwambia: “Jifunge viuno+ vyako uchukue chupa+ hii ya mafuta mkononi mwako, uende Ramothi-gileadi.+