1 Wafalme 18:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+ 2 Wafalme 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mara moja akamwambia Gehazi:+ “Jifunge viuno+ vyako, uchukue fimbo+ yangu mkononi mwako, uende. Ukikutana na yeyote, usimsalimu;+ na yeyote akikusalimu, usimjibu. Nawe uitie fimbo yangu juu ya uso wa huyo mvulana.”+ Luka 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Viuno+ vyenu na vifungwe mishipi na taa+ zenu ziwe zikiwaka,
46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+
29 Mara moja akamwambia Gehazi:+ “Jifunge viuno+ vyako, uchukue fimbo+ yangu mkononi mwako, uende. Ukikutana na yeyote, usimsalimu;+ na yeyote akikusalimu, usimjibu. Nawe uitie fimbo yangu juu ya uso wa huyo mvulana.”+