Kutoka 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na hivi ndivyo mtakavyokula, viuno vyenu vikiwa vimefungwa mshipi,+ viatu+ vikiwa miguuni penu na fimbo yenu mkononi mwenu; nanyi mtaila haraka haraka. Ni pasaka ya Yehova.+ 1 Wafalme 18:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+ Methali 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Amejifunga nguvu viunoni, naye ameitia nguvu mikono yake.+ Waefeso 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, simameni imara, viuno vyenu+ vikiwa vimefungwa kwa ile kweli,+ na mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+ 1 Petro 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo kazeni akili zenu kwa ajili ya utendaji,+ tunzeni akili zenu kwa ukamili;+ kazeni tumaini lenu juu ya fadhili zisizostahiliwa+ zitakazoletwa kwenu wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.
11 Na hivi ndivyo mtakavyokula, viuno vyenu vikiwa vimefungwa mshipi,+ viatu+ vikiwa miguuni penu na fimbo yenu mkononi mwenu; nanyi mtaila haraka haraka. Ni pasaka ya Yehova.+
46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+
14 Kwa hiyo, simameni imara, viuno vyenu+ vikiwa vimefungwa kwa ile kweli,+ na mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+
13 Kwa hiyo kazeni akili zenu kwa ajili ya utendaji,+ tunzeni akili zenu kwa ukamili;+ kazeni tumaini lenu juu ya fadhili zisizostahiliwa+ zitakazoletwa kwenu wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.