Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na hivi ndivyo mtakavyokula, viuno vyenu vikiwa vimefungwa mshipi,+ viatu+ vikiwa miguuni penu na fimbo yenu mkononi mwenu; nanyi mtaila haraka haraka. Ni pasaka ya Yehova.+

  • 1 Wafalme 18:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+

  • Methali 31:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Amejifunga nguvu viunoni, naye ameitia nguvu mikono yake.+

  • Waefeso 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, simameni imara, viuno vyenu+ vikiwa vimefungwa kwa ile kweli,+ na mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+

  • 1 Petro 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo kazeni akili zenu kwa ajili ya utendaji,+ tunzeni akili zenu kwa ukamili;+ kazeni tumaini lenu juu ya fadhili zisizostahiliwa+ zitakazoletwa kwenu wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki