1 Samweli 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+ Isaya 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na uadilifu utakuwa mshipi wa viuno vyake,+ na uaminifu mshipi wa viuno vyake.+
13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+