22 Mara moja Daudi akaiacha mizigo+ aliyokuwa nayo mkononi mwa mtunzaji wa mizigo,+ na kwenda mbio kwenye uwanja wa mapigano. Alipofika, akaanza kuuliza juu ya hali ya ndugu zake.+
24 Na ni nani atakayewasikiliza kwa neno hili? Kwa maana kama lilivyo fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani ndivyo litakavyokuwa fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+