27 Nawe utagawa nyara katika sehemu mbili kati ya wale walioshiriki katika pigano ambao walitoka nje kufunga safari na wale wengine wote wa kusanyiko.+
8 Naye akawaambia: “Rudini katika mahema yenu mkiwa na utajiri mwingi pamoja na mifugo mingi sana, pamoja na fedha na dhahabu na shaba na chuma na mavazi kwa wingi sana.+ Chukueni fungu lenu la nyara+ za adui zenu pamoja na ndugu zenu.”