Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliouawa, yaani, Evi na Rekemu na Suri na Huru na Reba, wale wafalme watano wa Midiani;+ nao wakamuua Balaamu+ mwana wa Beori kwa upanga.

  • Yoshua 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakati huohuo wale wafalme watano wakakimbia,+ wakaenda kujificha katika pango huko Makeda.+

  • Yoshua 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na wana wa Israeli waliwashinda ng’ambo ya Yordani kuelekea magharibi, kuanzia Baal-gadi+ katika nchi tambarare ya bondeni ya Lebanoni+ hadi Mlima Halaki,+ unaopanda hadi Seiri,+ kisha Yoshua akawapa makabila ya Israeli iwe urithi wao kulingana na mafungu yao,+

  • Waamuzi 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wafalme walikuja, wakapiga vita;

      Ndipo wafalme wa Kanaani wakapiga vita+

      Katika Taanaki+ kando ya maji ya Megido.+

      Hawakuchukua faida yoyote ya fedha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki