Yoshua 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kutoka Mlima Halaki,+ unaopanda mpaka Seiri,+ na mpaka Baal-gadi+ katika nchi tambarare ya bondeni ya Lebanoni, pale chini ya Mlima Hermoni,+ naye akawakamata wafalme wao wote, akawapiga na kuwaua.+
17 kutoka Mlima Halaki,+ unaopanda mpaka Seiri,+ na mpaka Baal-gadi+ katika nchi tambarare ya bondeni ya Lebanoni, pale chini ya Mlima Hermoni,+ naye akawakamata wafalme wao wote, akawapiga na kuwaua.+