Kumbukumbu la Torati 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye atawatia wafalme wao mkononi mwako,+ nawe lazima uyaharibu majina yao toka chini ya mbingu.+ Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yako,+ mpaka utakapokuwa umewaangamiza.+ Zaburi 136:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ambaye aliua wafalme wenye fahari:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
24 Naye atawatia wafalme wao mkononi mwako,+ nawe lazima uyaharibu majina yao toka chini ya mbingu.+ Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yako,+ mpaka utakapokuwa umewaangamiza.+
18 Na ambaye aliua wafalme wenye fahari:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+