Kutoka 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+ Zaburi 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umeyakemea mataifa,+ umemwangamiza mwovu.+Jina lao umelifutilia mbali mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+
5 Umeyakemea mataifa,+ umemwangamiza mwovu.+Jina lao umelifutilia mbali mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+