Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Alipomwona Amaleki, akaendeleza neno lake la kimethali na kusema:+

      “Amaleki alikuwa wa kwanza wa mataifa,+

      Lakini mwisho wake baadaye utakuwa kuangamia kwake.”+

  • Kumbukumbu la Torati 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na itatukia kwamba wakati ambapo Yehova Mungu wako atakuwa amekupumzisha kutokana na adui zako wanaokuzunguka pande zote katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi ili uimiliki,+ utafutilia mbali jina la Amaleki kutoka chini ya mbingu.+ Hupaswi kusahau.

  • 1 Mambo ya Nyakati 4:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Nao wakawapiga mabaki ya Amaleki+ waliokuwa wameponyoka, nao wakaendelea kukaa huko mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki