14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+
12 kutoka Siria na kutoka Moabu+ na kutoka kwa wana wa Amoni na kutoka kwa Wafilisti+ na kutoka kwa Amaleki+ na kutoka kwa nyara za Hadadezeri mwana wa Rehobu mfalme wa Soba.+