Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika hili katika kitabu+ liwe ukumbusho na uliseme masikioni mwa Yoshua, ‘Nitafutilia mbali kabisa ukumbusho wa Amaleki toka chini ya mbingu.’”+

  • 1 Samweli 14:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Naye akatenda kishujaa,+ akapiga Amaleki+ na kukomboa Israeli kutoka mkononi mwa mporaji wao.

  • 1 Samweli 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 4:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Nao wakawapiga mabaki ya Amaleki+ waliokuwa wameponyoka, nao wakaendelea kukaa huko mpaka leo hii.

  • Esta 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimtukuza Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ akamwinua+ na kukiweka kiti chake juu ya wakuu wengine wote waliokuwa pamoja naye.+

  • Esta 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki