Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 4:1

Marejeo

  • +Mwa 38:29; Hes 26:20; Ru 4:18; Mt 1:3
  • +Mwa 46:12; 1Nya 2:5
  • +Yos 7:1; 1Nya 2:7
  • +Kut 17:12; 24:14; 1Nya 2:19
  • +1Nya 2:50

1 Mambo ya Nyakati 4:2

Marejeo

  • +1Nya 2:52
  • +Yos 15:33; Amu 13:25; 1Nya 2:53

1 Mambo ya Nyakati 4:3

Marejeo

  • +2Nya 11:6
  • +Yos 15:56

1 Mambo ya Nyakati 4:4

Marejeo

  • +Yos 15:58; 1Nya 4:18
  • +1Nya 2:19
  • +1Sa 16:1; Mik 5:2; Yoh 7:42

1 Mambo ya Nyakati 4:5

Marejeo

  • +1Nya 2:24
  • +2Nya 11:6; Ne 3:5; Amo 1:1

1 Mambo ya Nyakati 4:9

Marejeo

  • +1Nya 2:55
  • +Met 15:20
  • +Mwa 3:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 23

1 Mambo ya Nyakati 4:10

Marejeo

  • +Mwa 12:8; Zb 55:16; 99:6; Yer 33:3
  • +Mwa 32:26; Hes 22:6; Met 10:22
  • +Kum 12:20
  • +Zb 119:173; Isa 41:10
  • +Mwa 48:16; Zb 50:15
  • +Met 12:21
  • +Zb 21:2; 66:19; Mt 7:7; 21:22; 1Pe 3:12; 1Yo 5:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 23

    10/1/2005, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 23; w05 10/1 9

1 Mambo ya Nyakati 4:13

Marejeo

  • +Yos 15:17
  • +Amu 1:13; 3:9, 11

1 Mambo ya Nyakati 4:14

Marejeo

  • +2Fa 24:14; Ne 11:35

1 Mambo ya Nyakati 4:15

Marejeo

  • +Hes 32:12; Yos 15:13
  • +Hes 13:6; 14:6; Yos 14:6

1 Mambo ya Nyakati 4:17

Marejeo

  • +Yos 21:14; 1Sa 30:28; 1Nya 6:57

1 Mambo ya Nyakati 4:19

Marejeo

  • +Yos 15:44; 1Sa 23:1

1 Mambo ya Nyakati 4:21

Marejeo

  • +Mwa 38:5; Hes 26:20
  • +1Nya 15:27; 2Nya 3:14

1 Mambo ya Nyakati 4:22

Marejeo

  • +Ru 4:10
  • +2Th 2:15

1 Mambo ya Nyakati 4:23

Marejeo

  • +Met 26:23; Isa 41:25; Omb 4:2
  • +Met 22:29

1 Mambo ya Nyakati 4:24

Marejeo

  • +Mwa 46:10; Kut 6:15
  • +Hes 26:12
  • +Hes 26:13

1 Mambo ya Nyakati 4:27

Marejeo

  • +Mwa 49:8; Hes 26:22

1 Mambo ya Nyakati 4:28

Marejeo

  • +Mwa 21:14; Yos 19:2
  • +Yos 15:26; Ne 11:26
  • +Yos 15:28; 19:3; Ne 11:27

1 Mambo ya Nyakati 4:29

Marejeo

  • +Yos 19:3
  • +Yos 15:29
  • +Yos 15:30

1 Mambo ya Nyakati 4:30

Marejeo

  • +Yos 19:4
  • +Amu 1:17
  • +Yos 15:31; 19:5; 1Sa 27:6; 30:1; 1Nya 12:1

1 Mambo ya Nyakati 4:31

Marejeo

  • +Yos 19:5
  • +Yos 19:6

1 Mambo ya Nyakati 4:32

Marejeo

  • +Yos 19:7

1 Mambo ya Nyakati 4:33

Marejeo

  • +Yos 19:8

1 Mambo ya Nyakati 4:38

Marejeo

  • +1Nya 5:24

1 Mambo ya Nyakati 4:40

Marejeo

  • +Zb 65:12
  • +Yos 11:23; 14:15; Amu 18:7
  • +Mwa 10:6, 20

1 Mambo ya Nyakati 4:41

Marejeo

  • +2Nya 29:1
  • +2Fa 18:8
  • +2Fa 19:11; 2Nya 20:23
  • +Hes 32:1

1 Mambo ya Nyakati 4:42

Marejeo

  • +Mwa 36:8; Kum 1:2

1 Mambo ya Nyakati 4:43

Marejeo

  • +Kut 17:14; 1Sa 15:7; 2Sa 8:12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 4:1Mwa 38:29; Hes 26:20; Ru 4:18; Mt 1:3
1 Nya. 4:1Mwa 46:12; 1Nya 2:5
1 Nya. 4:1Yos 7:1; 1Nya 2:7
1 Nya. 4:1Kut 17:12; 24:14; 1Nya 2:19
1 Nya. 4:11Nya 2:50
1 Nya. 4:21Nya 2:52
1 Nya. 4:2Yos 15:33; Amu 13:25; 1Nya 2:53
1 Nya. 4:32Nya 11:6
1 Nya. 4:3Yos 15:56
1 Nya. 4:4Yos 15:58; 1Nya 4:18
1 Nya. 4:41Nya 2:19
1 Nya. 4:41Sa 16:1; Mik 5:2; Yoh 7:42
1 Nya. 4:51Nya 2:24
1 Nya. 4:52Nya 11:6; Ne 3:5; Amo 1:1
1 Nya. 4:91Nya 2:55
1 Nya. 4:9Met 15:20
1 Nya. 4:9Mwa 3:16
1 Nya. 4:10Mwa 12:8; Zb 55:16; 99:6; Yer 33:3
1 Nya. 4:10Mwa 32:26; Hes 22:6; Met 10:22
1 Nya. 4:10Kum 12:20
1 Nya. 4:10Zb 119:173; Isa 41:10
1 Nya. 4:10Mwa 48:16; Zb 50:15
1 Nya. 4:10Met 12:21
1 Nya. 4:10Zb 21:2; 66:19; Mt 7:7; 21:22; 1Pe 3:12; 1Yo 5:14
1 Nya. 4:13Yos 15:17
1 Nya. 4:13Amu 1:13; 3:9, 11
1 Nya. 4:142Fa 24:14; Ne 11:35
1 Nya. 4:15Hes 32:12; Yos 15:13
1 Nya. 4:15Hes 13:6; 14:6; Yos 14:6
1 Nya. 4:17Yos 21:14; 1Sa 30:28; 1Nya 6:57
1 Nya. 4:19Yos 15:44; 1Sa 23:1
1 Nya. 4:21Mwa 38:5; Hes 26:20
1 Nya. 4:211Nya 15:27; 2Nya 3:14
1 Nya. 4:22Ru 4:10
1 Nya. 4:222Th 2:15
1 Nya. 4:23Met 26:23; Isa 41:25; Omb 4:2
1 Nya. 4:23Met 22:29
1 Nya. 4:24Mwa 46:10; Kut 6:15
1 Nya. 4:24Hes 26:12
1 Nya. 4:24Hes 26:13
1 Nya. 4:27Mwa 49:8; Hes 26:22
1 Nya. 4:28Mwa 21:14; Yos 19:2
1 Nya. 4:28Yos 15:26; Ne 11:26
1 Nya. 4:28Yos 15:28; 19:3; Ne 11:27
1 Nya. 4:29Yos 19:3
1 Nya. 4:29Yos 15:29
1 Nya. 4:29Yos 15:30
1 Nya. 4:30Yos 19:4
1 Nya. 4:30Amu 1:17
1 Nya. 4:30Yos 15:31; 19:5; 1Sa 27:6; 30:1; 1Nya 12:1
1 Nya. 4:31Yos 19:5
1 Nya. 4:31Yos 19:6
1 Nya. 4:32Yos 19:7
1 Nya. 4:33Yos 19:8
1 Nya. 4:381Nya 5:24
1 Nya. 4:40Zb 65:12
1 Nya. 4:40Yos 11:23; 14:15; Amu 18:7
1 Nya. 4:40Mwa 10:6, 20
1 Nya. 4:412Nya 29:1
1 Nya. 4:412Fa 18:8
1 Nya. 4:412Fa 19:11; 2Nya 20:23
1 Nya. 4:41Hes 32:1
1 Nya. 4:42Mwa 36:8; Kum 1:2
1 Nya. 4:43Kut 17:14; 1Sa 15:7; 2Sa 8:12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 4:1-43

1 Mambo ya Nyakati

4 Wana wa Yuda walikuwa Perezi,+ Hezroni+ na Karmi+ na Huru+ na Shobali.+ 2 Naye Reaya+ mwana wa Shobali, yeye alikuwa ni baba ya Yahathi; naye Yahathi akamzaa Ahumai na Lahadi. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wasorathi.+ 3 Na hawa ndio waliokuwa wana wa baba ya Etamu:+ Yezreeli+ na Ishma na Idbashi, (na jina la dada yao lilikuwa Haselelponi,) 4 na Penueli baba ya Gedori+ na Ezeri baba ya Husha. Hao ndio waliokuwa wana wa Huru+ mzaliwa wa kwanza wa Efratha baba ya Bethlehemu.+ 5 Na Ashuri+ baba ya Tekoa+ alikuwa na wake wawili, Hela na Naara. 6 Baada ya muda Naara akamzalia Ahuzamu na Heferi na Temeni na Haahashtari. Hao ndio waliokuwa wana wa Naara. 7 Na wana wa Hela walikuwa Serethi, Ishari na Ethnani. 8 Kosi naye akazaa Anubu na Zobeba na familia za Aharheli mwana wa Harumi.

9 Naye Yabesi+ akaja kuheshimika+ kuliko ndugu zake; na mama yake ndiye aliyemwita jina Yabesi, akisema: “Nimemzaa kwa maumivu.”+ 10 Na Yabesi akaanza kumwita Mungu+ wa Israeli, akisema: “Hakika ukinibariki+ na kwa kweli upanue eneo langu+ na mkono+ wako uwe pamoja nami, nawe uniokoe kutoka katika msiba,+ ili huo usipate kunidhuru,+ —” Basi Mungu akatimiza yale ambayo yeye alikuwa ameomba.+

11 Naye Kelubu ndugu ya Shuha akamzaa Mehiri, aliyekuwa baba ya Eshtoni. 12 Naye Eshtoni akazaa Beth-rafa na Pasea na Tehina baba ya Ir-nahashi. Hao ndio waliokuwa wanaume wa Reka. 13 Na wana wa Kenasi+ walikuwa Othnieli+ na Seraya, na wana wa Othnieli, Hathathi. 14 Meonothai naye akamzaa Ofra. Seraya naye akamzaa Yoabu baba ya Ge-harashimu; kwa maana wao walikuwa mafundi.+

15 Na wana wa Kalebu+ mwana wa Yefune+ walikuwa Iru, Ela na Naamu; na wana wa Ela ni Kenasi. 16 Na wana wa Yehaleleli walikuwa Zifu na Zifa, Tiria na Asareli. 17 Na wana wa Ezra walikuwa Yetheri na Meredi na Eferi na Yaloni; naye akazaa Miriamu na Shamai na Ishba baba ya Eshtemoa.+ 18 Naye mke wake Myahudi, yeye alizaa Yeredi baba ya Gedori na Heberi baba ya Soko na Yekuthieli baba ya Zanoa. Na hao ndio waliokuwa wana wa Bithia binti ya Farao, ambaye Meredi alimchukua.

19 Na wana wa mke wa Hodia, dada ya Nahamu, walikuwa baba ya Keila+ Mgarmi, na Eshtemoa Mmaakathi. 20 Na wana wa Shimoni walikuwa Amnoni na Rina, Ben-hanani na Tiloni. Na wana wa Ishi walikuwa Zohethi na Ben-zohethi.

21 Wana wa Shela+ mwana wa Yuda walikuwa Eri baba ya Leka na Laada baba ya Maresha na familia za nyumba ya wafumaji wa vitambaa laini+ wa nyumba ya Ashbea; 22 na Yokimu na wanaume wa Kozeba na Yoashi na Sarafi, waliochukua wake Wamoabu,+ na Yashubi-lehemu. Na hayo maneno ni ya mapokeo ya kale.+ 23 Hao ndio waliokuwa wafinyanzi+ na wakaaji wa Netaimu na Gedera. Walikaa huko pamoja na mfalme katika kazi yake.+

24 Wana wa Simeoni walikuwa Nemueli+ na Yamini,+ Yaribu, Zera, Shauli,+ 25 Shalumu mwana wake, Mibsamu mwana wake, Mishma mwana wake. 26 Na wana wa Mishma walikuwa Hamueli mwana wake, Zakuri mwana wake, Shimei mwana wake. 27 Na Shimei alikuwa na wana kumi na sita na binti sita; lakini ndugu zake hawakuwa na wana wengi, wala hakuna yoyote ya familia zao iliyokuwa na wana wengi kama wana wa Yuda.+ 28 Nao wakaendelea kukaa katika Beer-sheba+ na Molada+ na Hasar-shuali+ 29 na katika Bilha+ na katika Esemu+ na katika Toladi+ 30 na katika Bethueli+ na katika Horma+ na katika Siklagi+ 31 na katika Beth-markabothi na katika Hasar-susimu+ na katika Beth-biri na katika Shaaraimu.+ Hayo yalikuwa ndiyo majiji yao mpaka Daudi alipotawala.

32 Na makao yao yalikuwa Etamu na Aini, Rimoni na Tokeni na Ashani,+ majiji matano. 33 Na makao yao yote yaliyozunguka majiji hayo yalikuwa mpaka Baali.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa makao yao na maandikisho yao ya kiukoo kwa ajili yao. 34 Na Meshobabu na Yamleki na Yosha mwana wa Amazia, 35 na Yoeli na Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraya mwana wa Asieli, 36 na Elioenai na Yaakoba na Yeshohaya na Asaya na Adieli na Yesimieli na Benaya, 37 na Ziza mwana wa Shifi mwana wa Aloni mwana wa Yedaya mwana wa Shimri mwana wa Shemaya. 38 Hawa walioingia kwa majina ndio waliokuwa wakuu kati ya familia zao,+ na nyumba ya mababu zao ikaongezeka kwa wingi. 39 Nao wakaenda kwenye mwingilio wa Gedori, hata upande wa mashariki wa lile bonde, ili kutafutia makundi yao malisho. 40 Mwishowe wakapata malisho manono na mazuri,+ na nchi ilikuwa pana sana na haikuwa na usumbufu+ wowote ila starehe; kwa maana wale waliokaa huko nyakati za zamani walikuwa wa Hamu.+ 41 Na hawa walioandikwa kwa majina yao wakaingia katika siku za Hezekia+ mfalme wa Yuda, wakapiga+ mahema ya Wahamu na Meunimu waliokuwa huko, hivi kwamba wakawaangamiza+ mpaka leo hii; nao wakaanza kukaa mahali pao, kwa sababu kulikuwa na malisho+ kwa ajili ya makundi yao huko.

42 Na kutoka kwao kulikuwa na baadhi ya wana wa Simeoni walioenda katika Mlima Seiri,+ watu mia tano, pamoja na Pelatia na Nearia na Refaya na Uzieli wana wa Ishi wakiwa mbele yao. 43 Nao wakawapiga mabaki ya Amaleki+ waliokuwa wameponyoka, nao wakaendelea kukaa huko mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki