Yoshua 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Katika Shefela+ kulikuwa na Eshtaoli+ na Sora+ na Ashna, Waamuzi 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya muda roho ya Yehova+ ikaanza kumchochea katika Mahane-dani+ kati ya Sora+ na Eshtaoli.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Na familia za Kiriath-yearimu zilikuwa Waithri+ na Waputhu na Washumathi na Wamishra. Wasorathi+ na Waeshtaoli+ walitoka kwa hao.
53 Na familia za Kiriath-yearimu zilikuwa Waithri+ na Waputhu na Washumathi na Wamishra. Wasorathi+ na Waeshtaoli+ walitoka kwa hao.