Waamuzi 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wakaondoka, wakapanda, wakapiga kambi huko Kiriath-yearimu+ katika Yuda. Ndiyo sababu wamepaita mahali hapo Mahane-dani+ mpaka leo hii. Tazama! Pako upande wa magharibi wa Kiriath-yearimu.
12 Nao wakaondoka, wakapanda, wakapiga kambi huko Kiriath-yearimu+ katika Yuda. Ndiyo sababu wamepaita mahali hapo Mahane-dani+ mpaka leo hii. Tazama! Pako upande wa magharibi wa Kiriath-yearimu.