Waamuzi 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wakaenda na kupiga kambi karibu na Kiriath-yearimu+ kule Yuda. Ndiyo sababu eneo hilo lililo upande wa magharibi wa Kiriath-yearimu, linaitwa Mahane-dani*+ mpaka leo.
12 Nao wakaenda na kupiga kambi karibu na Kiriath-yearimu+ kule Yuda. Ndiyo sababu eneo hilo lililo upande wa magharibi wa Kiriath-yearimu, linaitwa Mahane-dani*+ mpaka leo.