7Basi watu wa Kiriath-yearimu+ wakaja, nao wakalipandisha sanduku la Yehova na kuliingiza katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, nao wakamtakasa Eleazari mwana wake ili alinde sanduku la Yehova.
4 Hata hivyo, Daudi alikuwa amelileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu+ mpaka mahali ambapo Daudi alikuwa amelitayarishia,+ kwa maana alikuwa amelisimamishia hema katika Yerusalemu.+