2 Kisha Daudi na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaondoka, wakaenda Baale-yuda+ ili kuleta kutoka hapo sanduku+ la Mungu wa kweli, ambalo juu yake jina+ limeitwa, jina la Yehova wa majeshi,+ anayeketi juu ya makerubi.+
5 Basi Daudi akakusanya+ Israeli wote kuanzia mto wa Misri+ mpaka maingilio ya Hamathi,+ ili kulileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu.+