Hesabu 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+ Zekaria 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Hamathi+ litapakana naye pia; Tiro+ na Sidoni,+ kwa maana ana hekima sana.+
8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+