Hesabu 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+ 2 Wafalme 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+
21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+
25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+