Hesabu 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+ Yoshua 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na nchi ya Wagebali+ na Lebanoni yote upande wa mapambazuko ya jua, kuanzia Baal-gadi+ ulio chini ya Mlima Hermoni hadi maingilio ya Hamathi;+ Amosi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Shikeni njia mpaka Kalne, mkaone; na kutoka hapo endeni mpaka Hamathi+ jiji lililo na hesabu kubwa ya watu, na mshuke mpaka Gathi+ la Wafilisti. Je, hayo ni bora kuliko falme hizi, au je, eneo lao ni kubwa kuliko eneo lenu?+
8 Kutoka Mlima Hori mtatia mpaka alama hadi mahali pa kuingilia pa Hamathi,+ na mwisho wa mpaka utakuwa Sedadi.+
5 na nchi ya Wagebali+ na Lebanoni yote upande wa mapambazuko ya jua, kuanzia Baal-gadi+ ulio chini ya Mlima Hermoni hadi maingilio ya Hamathi;+
2 Shikeni njia mpaka Kalne, mkaone; na kutoka hapo endeni mpaka Hamathi+ jiji lililo na hesabu kubwa ya watu, na mshuke mpaka Gathi+ la Wafilisti. Je, hayo ni bora kuliko falme hizi, au je, eneo lao ni kubwa kuliko eneo lenu?+