10 Popote ambapo mkono wangu umezifikia falme za mungu asiye na thamani ambaye sanamu zake za kuchongwa ni nyingi kuliko zile zilizo katika Yerusalemu na katika Samaria,+
8 Je, wewe ni bora kuliko No-amoni,+ aliyekuwa akiketi kando ya mifereji ya Nile?+ Maji yalimzunguka kotekote, mali yake ilikuwa bahari, ukuta wake ulikuwa bahari.