2 Wafalme 18:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu,+ Hena+ na Iva?+ Je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+ 2 Wafalme 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu. 2 Mambo ya Nyakati 32:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wakaendelea kusema vibaya+ juu ya Mungu wa Yerusalemu+ kama vile walivyofanya juu ya miungu ya vikundi vya watu wa dunia, iliyo kazi ya mikono ya mwanadamu.+
34 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu,+ Hena+ na Iva?+ Je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+
18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu.
19 Nao wakaendelea kusema vibaya+ juu ya Mungu wa Yerusalemu+ kama vile walivyofanya juu ya miungu ya vikundi vya watu wa dunia, iliyo kazi ya mikono ya mwanadamu.+