Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu,+ Hena+ na Iva?+ Je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+

  • 2 Wafalme 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wakaendelea kusema vibaya+ juu ya Mungu wa Yerusalemu+ kama vile walivyofanya juu ya miungu ya vikundi vya watu wa dunia, iliyo kazi ya mikono ya mwanadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki