Hesabu 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+ 2 Samweli 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Toi mfalme wa Hamathi+ akasikia kwamba Daudi amepiga jeshi lote la Hadadezeri.+ 2 Wafalme 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yuko wapi—mfalme wa Hamathi+ na mfalme wa Arpadi+ na mfalme wa majiji ya Sefarvaimu, Hena na Iva?’”+
21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+
13 Yuko wapi—mfalme wa Hamathi+ na mfalme wa Arpadi+ na mfalme wa majiji ya Sefarvaimu, Hena na Iva?’”+