Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 18:1

Marejeo

  • +2Fa 15:30; 17:1
  • +1Nya 3:13; 2Nya 28:27; Mt 1:9
  • +2Fa 16:2, 20

2 Wafalme 18:2

Marejeo

  • +2Nya 29:1

2 Wafalme 18:3

Marejeo

  • +2Fa 20:3; 2Nya 31:20, 21; Zb 119:128
  • +1Fa 3:14; 15:5; 2Nya 29:2

2 Wafalme 18:4

Marejeo

  • +Law 26:30; Hes 33:52; 1Fa 3:2; 2Fa 14:4; Zb 78:58
  • +Kum 7:5; 2Nya 31:1
  • +Kum 12:3
  • +Hes 21:8
  • +Hes 21:9
  • +Met 15:8
  • +1Ko 8:4

2 Wafalme 18:5

Marejeo

  • +2Nya 16:9; 32:7; Zb 91:2; Yer 17:7
  • +2Fa 19:15
  • +2Nya 15:17; 20:33

2 Wafalme 18:6

Marejeo

  • +Kum 10:20; Yos 23:8
  • +2Fa 17:13; Yer 11:4

2 Wafalme 18:7

Marejeo

  • +2Nya 15:2; Zb 46:11; 60:12
  • +1Sa 18:14; Met 20:18
  • +2Fa 16:7

2 Wafalme 18:8

Marejeo

  • +2Nya 28:18; Isa 14:29
  • +Yos 13:3
  • +2Fa 17:9; 2Nya 26:10

2 Wafalme 18:9

Marejeo

  • +2Fa 17:1
  • +2Fa 17:4
  • +2Fa 17:5

2 Wafalme 18:10

Marejeo

  • +Ho. 13:16; Amo 3:11; Mik 1:6; 6:16; 7:13
  • +2Fa 17:6

2 Wafalme 18:11

Marejeo

  • +2Fa 19:11; Isa 8:4; Ho. 8:9; Amo 5:3
  • +Amo 6:7; 9:4
  • +2Fa 17:6
  • +1Nya 5:26
  • +2Fa 17:6

2 Wafalme 18:12

Marejeo

  • +Kum 8:20; 1Fa 14:15; 2Fa 17:7; Ne 9:17
  • +Kum 29:25; 2Fa 17:15; Ne 9:26; Yer 34:18
  • +Kut 19:3; 24:12
  • +Kum 5:1

2 Wafalme 18:13

Marejeo

  • +2Nya 32:1; Isa 36:1
  • +Isa 10:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kitabu kwa Wote, kur. 14-15

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1993, kur. 5-6

    2/15/1988, kur. 27-28

    “Kila Andiko,” uku. 156

  • Fahirishi ya Machapisho

    ba 14-15

2 Wafalme 18:14

Marejeo

  • +2Fa 18:7; Met 29:25; Lu 14:32
  • +1Fa 16:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Isaya 1, kur. 383-385

    Kitabu kwa Wote, kur. 14-15

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1993, kur. 5-6

    2/15/1988, kur. 27-28

  • Fahirishi ya Machapisho

    ip-1 385; ba 14-15

2 Wafalme 18:15

Marejeo

  • +2Fa 16:8
  • +2Fa 12:18; 2Nya 16:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1993, uku. 6

2 Wafalme 18:16

Marejeo

  • +1Fa 6:33, 35
  • +2Nya 29:3

2 Wafalme 18:17

Marejeo

  • +2Nya 32:9
  • +Isa 20:1
  • +Isa 36:2; 37:8
  • +Yos 15:39; 2Nya 11:9
  • +2Fa 20:20
  • +Isa 7:3
  • +Isa 36:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Isaya 1, uku. 386

  • Fahirishi ya Machapisho

    ip-1 386

2 Wafalme 18:18

Marejeo

  • +2Fa 19:2; Isa 22:20; 36:3; Mt 10:16
  • +Isa 22:15

2 Wafalme 18:19

Marejeo

  • +Isa 36:4
  • +Isa 10:8
  • +2Fa 19:10; 2Nya 32:10; Zb 4:2; Isa 36:7; 37:10

2 Wafalme 18:20

Marejeo

  • +Met 20:18
  • +2Fa 18:7; Ezr 4:15

2 Wafalme 18:21

Marejeo

  • +Isa 36:6; Eze 29:6
  • +Isa 30:2; 31:1
  • +2Fa 17:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    7/15/2010, kur. 12-13

    8/1/2005, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 7/15 12-13; w05 8/1 11

2 Wafalme 18:22

Marejeo

  • +2Fa 18:19
  • +2Nya 32:8
  • +2Nya 31:1; 32:12
  • +Isa 36:7
  • +Kum 12:11, 13; 2Nya 7:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    7/15/2010, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 7/15 13

2 Wafalme 18:23

Marejeo

  • +Isa 36:8
  • +Zb 123:4; Isa 10:13

2 Wafalme 18:24

Marejeo

  • +Isa 10:8
  • +Zb 20:7
  • +Kum 17:16; Isa 31:1; 36:9

2 Wafalme 18:25

Marejeo

  • +2Fa 19:6, 22

2 Wafalme 18:26

Marejeo

  • +2Fa 18:18; Isa 22:20
  • +Isa 22:15
  • +Isa 36:11
  • +2Fa 18:17; Isa 36:2
  • +Ezr 4:7; Da 2:4
  • +Ne 13:24; Mdo 22:2

2 Wafalme 18:27

Marejeo

  • +Kum 28:53; 2Fa 6:25; Eze 4:15
  • +2Nya 32:11; Isa 36:12

2 Wafalme 18:28

Marejeo

  • +2Nya 32:18; Isa 36:13
  • +2Fa 18:13

2 Wafalme 18:29

Marejeo

  • +1Fa 20:11; 2Nya 32:15; Da 3:15

2 Wafalme 18:30

Marejeo

  • +2Fa 18:19; 19:22; Zb 11:1; 22:8
  • +1Sa 14:6; Zb 71:12; 125:1
  • +2Fa 19:32; Isa 36:15

2 Wafalme 18:31

Marejeo

  • +1Fa 4:20, 25
  • +Isa 36:16

2 Wafalme 18:32

Marejeo

  • +2Fa 17:6, 23
  • +1Nya 16:3
  • +Kum 8:8; Isa 36:17
  • +Met 24:13
  • +2Fa 18:29

2 Wafalme 18:33

Marejeo

  • +Isa 36:18
  • +2Fa 18:30

2 Wafalme 18:34

Marejeo

  • +Hes 13:21; 2Sa 8:9; 2Fa 19:13
  • +Yer 49:23
  • +2Fa 17:24; Isa 36:19
  • +Isa 37:13
  • +2Fa 19:13
  • +2Fa 17:6, 23

2 Wafalme 18:35

Marejeo

  • +2Fa 19:17
  • +2Fa 19:19; 2Nya 32:15; Ayu 15:25; Zb 2:2; Isa 36:20; 37:23

2 Wafalme 18:36

Marejeo

  • +Zb 38:13; 39:1; Mhu 3:7
  • +Met 9:7; 26:4; Isa 36:21; 2Ti 2:24
  • +Zb 38:15

2 Wafalme 18:37

Marejeo

  • +2Fa 18:18
  • +Isa 22:15
  • +Isa 36:3, 22
  • +Mwa 37:29; 2Fa 22:11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 18:12Fa 15:30; 17:1
2 Fal. 18:11Nya 3:13; 2Nya 28:27; Mt 1:9
2 Fal. 18:12Fa 16:2, 20
2 Fal. 18:22Nya 29:1
2 Fal. 18:32Fa 20:3; 2Nya 31:20, 21; Zb 119:128
2 Fal. 18:31Fa 3:14; 15:5; 2Nya 29:2
2 Fal. 18:4Law 26:30; Hes 33:52; 1Fa 3:2; 2Fa 14:4; Zb 78:58
2 Fal. 18:4Kum 7:5; 2Nya 31:1
2 Fal. 18:4Kum 12:3
2 Fal. 18:4Hes 21:8
2 Fal. 18:4Hes 21:9
2 Fal. 18:4Met 15:8
2 Fal. 18:41Ko 8:4
2 Fal. 18:52Nya 16:9; 32:7; Zb 91:2; Yer 17:7
2 Fal. 18:52Fa 19:15
2 Fal. 18:52Nya 15:17; 20:33
2 Fal. 18:6Kum 10:20; Yos 23:8
2 Fal. 18:62Fa 17:13; Yer 11:4
2 Fal. 18:72Nya 15:2; Zb 46:11; 60:12
2 Fal. 18:71Sa 18:14; Met 20:18
2 Fal. 18:72Fa 16:7
2 Fal. 18:82Nya 28:18; Isa 14:29
2 Fal. 18:8Yos 13:3
2 Fal. 18:82Fa 17:9; 2Nya 26:10
2 Fal. 18:92Fa 17:1
2 Fal. 18:92Fa 17:4
2 Fal. 18:92Fa 17:5
2 Fal. 18:10Ho. 13:16; Amo 3:11; Mik 1:6; 6:16; 7:13
2 Fal. 18:102Fa 17:6
2 Fal. 18:112Fa 19:11; Isa 8:4; Ho. 8:9; Amo 5:3
2 Fal. 18:11Amo 6:7; 9:4
2 Fal. 18:112Fa 17:6
2 Fal. 18:111Nya 5:26
2 Fal. 18:112Fa 17:6
2 Fal. 18:12Kum 8:20; 1Fa 14:15; 2Fa 17:7; Ne 9:17
2 Fal. 18:12Kum 29:25; 2Fa 17:15; Ne 9:26; Yer 34:18
2 Fal. 18:12Kut 19:3; 24:12
2 Fal. 18:12Kum 5:1
2 Fal. 18:132Nya 32:1; Isa 36:1
2 Fal. 18:13Isa 10:5
2 Fal. 18:142Fa 18:7; Met 29:25; Lu 14:32
2 Fal. 18:141Fa 16:24
2 Fal. 18:152Fa 16:8
2 Fal. 18:152Fa 12:18; 2Nya 16:2
2 Fal. 18:161Fa 6:33, 35
2 Fal. 18:162Nya 29:3
2 Fal. 18:172Nya 32:9
2 Fal. 18:17Isa 20:1
2 Fal. 18:17Isa 36:2; 37:8
2 Fal. 18:17Yos 15:39; 2Nya 11:9
2 Fal. 18:172Fa 20:20
2 Fal. 18:17Isa 7:3
2 Fal. 18:17Isa 36:2
2 Fal. 18:182Fa 19:2; Isa 22:20; 36:3; Mt 10:16
2 Fal. 18:18Isa 22:15
2 Fal. 18:19Isa 36:4
2 Fal. 18:19Isa 10:8
2 Fal. 18:192Fa 19:10; 2Nya 32:10; Zb 4:2; Isa 36:7; 37:10
2 Fal. 18:20Met 20:18
2 Fal. 18:202Fa 18:7; Ezr 4:15
2 Fal. 18:21Isa 36:6; Eze 29:6
2 Fal. 18:21Isa 30:2; 31:1
2 Fal. 18:212Fa 17:4
2 Fal. 18:222Fa 18:19
2 Fal. 18:222Nya 32:8
2 Fal. 18:222Nya 31:1; 32:12
2 Fal. 18:22Isa 36:7
2 Fal. 18:22Kum 12:11, 13; 2Nya 7:12
2 Fal. 18:23Isa 36:8
2 Fal. 18:23Zb 123:4; Isa 10:13
2 Fal. 18:24Isa 10:8
2 Fal. 18:24Zb 20:7
2 Fal. 18:24Kum 17:16; Isa 31:1; 36:9
2 Fal. 18:252Fa 19:6, 22
2 Fal. 18:262Fa 18:18; Isa 22:20
2 Fal. 18:26Isa 22:15
2 Fal. 18:26Isa 36:11
2 Fal. 18:262Fa 18:17; Isa 36:2
2 Fal. 18:26Ezr 4:7; Da 2:4
2 Fal. 18:26Ne 13:24; Mdo 22:2
2 Fal. 18:27Kum 28:53; 2Fa 6:25; Eze 4:15
2 Fal. 18:272Nya 32:11; Isa 36:12
2 Fal. 18:282Nya 32:18; Isa 36:13
2 Fal. 18:282Fa 18:13
2 Fal. 18:291Fa 20:11; 2Nya 32:15; Da 3:15
2 Fal. 18:302Fa 18:19; 19:22; Zb 11:1; 22:8
2 Fal. 18:301Sa 14:6; Zb 71:12; 125:1
2 Fal. 18:302Fa 19:32; Isa 36:15
2 Fal. 18:311Fa 4:20, 25
2 Fal. 18:31Isa 36:16
2 Fal. 18:322Fa 17:6, 23
2 Fal. 18:321Nya 16:3
2 Fal. 18:32Kum 8:8; Isa 36:17
2 Fal. 18:32Met 24:13
2 Fal. 18:322Fa 18:29
2 Fal. 18:33Isa 36:18
2 Fal. 18:332Fa 18:30
2 Fal. 18:34Hes 13:21; 2Sa 8:9; 2Fa 19:13
2 Fal. 18:34Yer 49:23
2 Fal. 18:342Fa 17:24; Isa 36:19
2 Fal. 18:34Isa 37:13
2 Fal. 18:342Fa 19:13
2 Fal. 18:342Fa 17:6, 23
2 Fal. 18:352Fa 19:17
2 Fal. 18:352Fa 19:19; 2Nya 32:15; Ayu 15:25; Zb 2:2; Isa 36:20; 37:23
2 Fal. 18:36Zb 38:13; 39:1; Mhu 3:7
2 Fal. 18:36Met 9:7; 26:4; Isa 36:21; 2Ti 2:24
2 Fal. 18:36Zb 38:15
2 Fal. 18:372Fa 18:18
2 Fal. 18:37Isa 22:15
2 Fal. 18:37Isa 36:3, 22
2 Fal. 18:37Mwa 37:29; 2Fa 22:11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 18:1-37

2 Wafalme

18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme. 2 Alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abi binti ya Zekaria.+ 3 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Daudi babu yake alikuwa amefanya.+ 4 Yeye ndiye aliyeondoa mahali pa juu+ na kuzivunja vipande-vipande zile nguzo takatifu+ na kukata ule mti mtakatifu+ na kumponda vipande-vipande yule nyoka wa shaba+ ambaye Musa alitengeneza;+ kwa maana mpaka siku hizo wana wa Israeli walikuwa wameendelea kumfukizia moshi wa dhabihu,+ naye alikuwa akiitwa sanamu+ ya nyoka wa shaba. 5 Alimtegemea Yehova Mungu wa Israeli;+ na baada yake hapakuwa na yeyote kama yeye kati ya wafalme wote wa Yuda,+ hata wale waliomtangulia.+ 6 Naye akaendelea kushikamana na Yehova.+ Hakugeuka kando na kuacha kumfuata, bali aliendelea kuzishika amri zake ambazo Yehova alimwamuru Musa.+ 7 Na Yehova akawa pamoja naye.+ Popote ambapo alienda, alitenda kwa busara;+ naye alimwasi mfalme wa Ashuru wala hakumtumikia.+ 8 Yeye ndiye aliyewapiga Wafilisti+ mpaka Gaza+ na pia maeneo yake, kuanzia ule mnara+ wa walinzi mpaka kwenye jiji lenye ngome.

9 Na ikawa katika mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, yaani, mwaka wa saba wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, kwamba Shalmanesa+ mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya Samaria, akaanza kulizingira.+ 10 Nao wakaliteka+ mwishoni mwa miaka mitatu; katika mwaka wa sita wa Hezekia, yaani, mwaka wa tisa wa Hoshea mfalme wa Israeli, Samaria likatekwa.+ 11 Kisha mfalme wa Ashuru+ akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akawakalisha katika Hala+ na katika Habori+ kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi,+ 12 kwa sababu hawakuisikiliza+ sauti ya Yehova Mungu wao, bali waliendelea kuvunja agano lake,+ naam, yote ambayo Musa+ mtumishi wa Yehova aliamuru.+ Hawakusikiliza wala kutenda.

13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka. 14 Kwa hiyo Hezekia mfalme wa Yuda akatuma ujumbe kwa mfalme wa Ashuru kule Lakishi, na kusema: “Nimetenda dhambi. Rudi nyuma, utoke juu yangu. Lolote utakalonitwika, nitalichukua.”+ Basi mfalme wa Ashuru akaweka juu ya Hezekia mfalme wa Yuda talanta+ 300 za fedha na talanta 30 za dhahabu. 15 Kwa hiyo Hezekia akatoa fedha yote iliyopatikana katika nyumba ya Yehova+ na katika hazina za nyumba ya mfalme.+ 16 Wakati huo Hezekia akaing’oa milango ya hekalu la Yehova+ na miimo ambayo Hezekia mfalme wa Yuda alikuwa ameifunika,+ kisha akampa mfalme wa Ashuru.

17 Na mfalme wa Ashuru+ akatuma Tartani+ na Rabsarisi na Rabshake+ kutoka Lakishi+ kwa Mfalme Hezekia katika Yerusalemu, wakiwa na jeshi kubwa mpaka Yerusalemu. Basi wakapanda, wakaja na kusimama tuli kando ya lile bomba+ la kidimbwi cha juu,+ kilicho kwenye njia kuu ya uwanja wa mfuaji wa nguo.+ 18 Nao wakaanza kumwita mfalme, lakini Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa mwana wa Asafu karani, wakatoka nje, wakawajia.

19 Basi Rabshake+ akawaambia: “Tafadhali, mwambieni Hezekia, ‘Mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru, amesema hivi: “Ni tumaini gani hili ambalo umelitegemea?+ 20 Wewe umesema (lakini hilo ni neno la midomo), ‘Kuna mashauri+ na nguvu kwa ajili ya vita.’ Sasa umeweka tegemeo lako katika nani, hivi kwamba ukaniasi+ mimi? 21 Sasa tazama! umeweka tegemeo lako katika usaidizi wa tete hili lililopondeka,+ Misri,+ ambalo, mtu akiliegemea, hakika litaingia mkononi mwake na kuuchoma. Hivyo ndivyo Farao+ mfalme wa Misri alivyo kwa wote wanaomtegemea. 22 Nanyi mkiniambia, ‘Tumeweka tegemeo+ letu katika Yehova,+ Mungu wetu,’ je, yeye siye ambaye mahali pake pa juu+ na madhabahu zake Hezekia+ ameondoa, huku akiwaambia Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii katika Yerusalemu’?”’+ 23 Basi sasa, tafadhali, mpeni dhamana+ bwana wangu mfalme wa Ashuru, nami niwape farasi elfu mbili tuone ikiwa mnaweza kuweka wapanda-farasi juu yao.+ 24 Unawezaje, basi, kugeuza nyuma uso wa gavana mmoja wa watumishi wadogo zaidi wa bwana wangu,+ na huku wewe unategemea Misri kwa ajili ya magari+ na kwa ajili ya wapanda-farasi?+ 25 Sasa je, nimekuja juu ya mahali hapa ili kupaharibu bila kupewa mamlaka kutoka kwa Yehova? Yehova mwenyewe aliniambia,+ ‘Nenda juu ya nchi hii, nawe lazima uiharibu.’”

26 Ndipo Eliakimu+ mwana wa Hilkia na Shebna+ na Yoa+ wakamwambia Rabshake:+ “Tafadhali, sema na watumishi wako katika lugha+ ya Kisiria, kwa maana tunaweza kusikia; wala usiseme nasi katika lugha+ ya Wayahudi masikioni mwa wale watu walio juu ya ukuta.” 27 Lakini Rabshake akawaambia: “Je, bwana wangu amenituma kusema maneno haya kwenu na kwa bwana wenu? Je, si kwa wale watu ambao wameketi juu ya ukuta, ili wale mavi+ yao wenyewe na kunywa mkojo wao wenyewe pamoja nanyi?”+

28 Na Rabshake akaendelea kusimama na kuita kwa sauti kubwa katika lugha ya Wayahudi;+ naye akaendelea kusema: “Sikieni neno la mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru. 29 Mfalme amesema hivi, ‘Msiache Hezekia awadanganye ninyi, kwa maana hawezi kuwakomboa kutoka mkononi mwangu.+ 30 Wala msiache Hezekia awafanye ninyi mkamtegemee Yehova,+ na kusema: “Hakika Yehova atatukomboa,+ na jiji hili halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+ 31 Msimsikilize Hezekia; kwa maana mfalme wa Ashuru amesema hivi: “Salimuni amri kwangu, mtoke nje mje kwangu, mle kila mtu kutokana na mzabibu wake mwenyewe na kila mtu kutokana na mtini+ wake mwenyewe na mnywe kila mtu maji ya tangi+ lake mwenyewe, 32 mpaka nije na kuwachukua ninyi na kwa kweli niwapeleke katika nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe,+ nchi yenye nafaka na divai mpya, nchi yenye mkate+ na mashamba ya mizabibu,+ nchi yenye mizeituni ya mafuta na asali;+ nanyi mwendelee kuishi, msije mkafa. Nanyi msimsikilize Hezekia, kwa maana anawashawishi ninyi, akisema, ‘Yehova mwenyewe atatukomboa.’+ 33 Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa+ kwa vyovyote nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+ 34 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu,+ Hena+ na Iva?+ Je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+ 35 Ni miungu gani kati ya miungu yote ya nchi ambayo imeikomboa nchi yao kutoka mkononi mwangu,+ hivi kwamba Yehova akomboe Yerusalemu kutoka mkononi mwangu?”’”+

36 Na watu wakaendelea kukaa kimya+ wala hawakumjibu+ neno lolote, kwa maana amri ya mfalme ilisema: “Hampaswi kumjibu.”+ 37 Lakini Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa+ mwana wa Asafu karani wakaja kwa Hezekia, mavazi yao yakiwa yameraruliwa,+ wakamwambia maneno ya Rabshake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki