Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na itatukia kwamba mahali+ ambapo Yehova Mungu wenu atachagua ili jina lake likae hapo ndipo mtakapoleta vyote ambavyo ninawaamuru leo, matoleo yenu ya kuteketezwa+ na dhabihu zenu, na sehemu zenu za kumi+ na mchango+ wa mkono wenu na kila kilicho bora cha matoleo yenu ya nadhiri+ ambayo mtamwekea nadhiri Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Jiangalie usije ukatoa matoleo yako ya kuteketezwa katika mahali pengine popote utakapoona.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa Yehova akamtokea+ Sulemani wakati wa usiku na kumwambia: “Nimeisikia sala yako,+ nami nimechagua+ mahali hapa kwa ajili yangu mwenyewe ili pawe nyumba ya dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki