-
Kumbukumbu la Torati 12:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Na itatukia kwamba mahali+ ambapo Yehova Mungu wenu atachagua ili jina lake likae hapo ndipo mtakapoleta vyote ambavyo ninawaamuru leo, matoleo yenu ya kuteketezwa+ na dhabihu zenu, na sehemu zenu za kumi+ na mchango+ wa mkono wenu na kila kilicho bora cha matoleo yenu ya nadhiri+ ambayo mtamwekea nadhiri Yehova.
-