Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+

  • Zaburi 66:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa kweli Mungu amesikia;+

      Ameisikiliza sauti ya sala yangu.+

  • Luka 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imekubaliwa,+ na mke wako Elisabeti atamzaa mwana wako, nawe utamwita jina lake Yohana.+

  • Matendo 10:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 na kusema, ‘Kornelio, sala yako imesikiwa na kukubaliwa, nazo zawadi zako za rehema zimekumbukwa mbele za Mungu.+

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki