5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+
13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imekubaliwa,+ na mke wako Elisabeti atamzaa mwana wako, nawe utamwita jina lake Yohana.+
12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+