Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+

      Na hakuna miungu pamoja nami.+

      Mimi huua, nami hufanya hai.+

      Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+

      Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+

  • Zaburi 41:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova mwenyewe atamtegemeza katika kitanda cha ugonjwa;+

      Kitanda chake chote hakika utakibadilisha wakati wa ugonjwa wake.+

  • Zaburi 103:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+

      Anayeponya magonjwa yako yote,+

  • Zaburi 147:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Anawaponya+ wenye mioyo iliyovunjika,+

      Naye anafunga sehemu zao zenye maumivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki