Kumbukumbu la Torati 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+ 2 Mambo ya Nyakati 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+ Zaburi 41:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova mwenyewe atamtegemeza katika kitanda cha ugonjwa;+Kitanda chake chote hakika utakibadilisha wakati wa ugonjwa wake.+ Zaburi 103:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+Anayeponya magonjwa yako yote,+ Zaburi 147:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anawaponya+ wenye mioyo iliyovunjika,+Naye anafunga sehemu zao zenye maumivu.+
39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+
14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+
3 Yehova mwenyewe atamtegemeza katika kitanda cha ugonjwa;+Kitanda chake chote hakika utakibadilisha wakati wa ugonjwa wake.+
3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+Anayeponya magonjwa yako yote,+ Zaburi 147:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anawaponya+ wenye mioyo iliyovunjika,+Naye anafunga sehemu zao zenye maumivu.+