Yeremia 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uniponye, Ee Yehova, nami nitapona.+ Uniokoe, nami nitaokoka;+ kwa maana wewe ni sifa yangu.+ Hosea 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Njooni, turudi kwa Yehova,+ kwa maana yeye mwenyewe amerarua vipande-vipande,+ lakini atatuponya.+ Alizidi kupiga, lakini atatufunga kitambaa.+
6 “Njooni, turudi kwa Yehova,+ kwa maana yeye mwenyewe amerarua vipande-vipande,+ lakini atatuponya.+ Alizidi kupiga, lakini atatufunga kitambaa.+