Kumbukumbu la Torati 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+ Zaburi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka.
39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+
2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka.